1
Umetuahidi, kwamba wawili, watatu kwa jina lako wakija, Utawabariki, kwa hivi leo twapiga magoti nyumbani pako.
Kiitikio
Yesu uje kwetu, utubariki; Yesu uje kwetu, uwe karibu.
2
Umekuwa nasi, siku nyingine, tunakuhitaji mpaka mwisho, Uje Mkombozi, tupe neema, tusikie Yesu, utubariki.
3
Uje utawale sauti zetu, nyimbo nazo sala, uziagize. Imani izidi, ikamilike, pendo liwe safi na njia nuru.