206

Mwokozi Wangu Alinipenda

1

Mwokozi wangu alinipenda, maovu hayanitengi naye, Alijitoa kuniponya, sasa mimi wake.

Kiitikio

Mimi wake kabisa, naye Yesu wangu, Si kwa wakati huu tu, bali na milele.

2

Dhambini nilijidhili sana, Yesu akaja kunikomboa, Akanitoa sumbukoni, sasa mimi wake.

3

Furaha nyingi moyoni mwangu, Bwana Yesu kuni- fanya huru, Kunitwaa kwa damu yake, sasa m