1
Omba sana asubuhi, omba sana mchana, Omba sana na jioni, Bwana hutusikia.
2
Mungu hujibu maombi, asubuhi na mchana, Hata hutungojea tena, wakati wa jioni.
3
Na tuimbe asubuhi, tena saa za mchana.
Omba sana asubuhi, omba sana mchana, Omba sana na jioni, Bwana hutusikia.
Mungu hujibu maombi, asubuhi na mchana, Hata hutungojea tena, wakati wa jioni.
Na tuimbe asubuhi, tena saa za mchana.