1
Katika wenye dhambi, ndimi mkuu wao, Ila Yesu akaja, kwa dhambi alikufa, Akamimina damu, niupate uzima.
2
Ajabu! Pendo lake, pendo lililo kuu, Pendo lisilo mwisho, lidumulo milele, Lililonitafuta, ingawa sikumpenda.
3
Ingawa ni mbaya, Kristo ni vyote kwangu, Ajua haja zangu, huzuni zangu zake, Hata katika vita, akiwapo salama.