1
‘Uniangalie’ atwambia, Yesu aliyetufia, Msalabani ni uzima, hapa utaipata hazina.
Kiitikio
Kutazama Kalwari, kutazama Kalwari, Ni kupewa kuishi, kuutazama mti.
2
Ninapojaribiwa ghafula, Shetani hatanitega, Nikitazama msalaba, nguvu nitaipata kwa Bwana.
3
Msalaba nitautazama, kila wakati daima. Ahadi nitategemea, hivi kabisa sitaanguka.