1
Moyoni, moyoni, ingia moyoni Yesu. Njoo leo, njoo kukaa, ingia moyoni Bwana. Moyoni, moyoni, angaza moyoni Yesu, Ng’aa leo, siku zote, angaza moyoni Bwana.
Moyoni, moyoni, ingia moyoni Yesu. Njoo leo, njoo kukaa, ingia moyoni Bwana. Moyoni, moyoni, angaza moyoni Yesu, Ng’aa leo, siku zote, angaza moyoni Bwana.