1
Siku ya Sabato, siku takatifu, Watu wako Mungu wetu, waipenda sana.
2
Uliitakasa, uliibariki, Siku hiyo ya Sabato, siku yako Bwana.
3
Nasi tubariki, tukikuabudu, Katika siku ya raha, siku yako Bwana.
4
Halafu mbinguni, pamoja na Wewe, Tunataka kuzishika, Sabato za Bwana.