1
Ukaribie tena, ewe siku ya raha, Roho yakusalimu, kama mwanga wa mbingu.
2
Raha yako tulivu, yafurahisha moyo, Yatuliza taabu, hata waisha mwendo.
3
Ee siku takatifu, ya sifa na maombi, Na kutuhekimisha, baraka yako kubwa.
Ukaribie tena, ewe siku ya raha, Roho yakusalimu, kama mwanga wa mbingu.
Raha yako tulivu, yafurahisha moyo, Yatuliza taabu, hata waisha mwendo.
Ee siku takatifu, ya sifa na maombi, Na kutuhekimisha, baraka yako kubwa.