86

Ukaribie Tena

1

Ukaribie tena, ewe siku ya raha, Roho yakusalimu, kama mwanga wa mbingu.

2

Raha yako tulivu, yafurahisha moyo, Yatuliza taabu, hata waisha mwendo.

3

Ee siku takatifu, ya sifa na maombi, Na kutuhekimisha, baraka yako kubwa.