89

Bwana Asubuhi

1

Bwana asubuhi kucha, nitakuinua, Sauti yangu kuomba, nipate baraka.

2

Nakuomba roho yako, niongozwe nayo, Nifanye yanipasayo, na mapenzi yako.

3

Wanaokutegemea, u Mlinzi wao, Matumaini wanayo, utayatimiza.

4

Na kwa wingi wa fadhili, nyumbani mwako juu, Nitaingia na wimbo, pale kusujudu.