96

Mali Yako Sasa

1

Mali yako sasa, Bwana, tunatoa, Hatuna yaliyo yetu, yote ni vipaji.

2

Sisi watumishi, twaungama deni, Tungeirudisha kwake, iliyo ya Bwana.

3

Utusaidie, upendo kujua, Kwa ajili yao wote, walio gizani.

4

Neno tumaini, na kutegemea, Kwamba lote tufanyalo, tulifanye kwako.