1
Mali yako sasa, Bwana, tunatoa, Hatuna yaliyo yetu, yote ni vipaji.
2
Sisi watumishi, twaungama deni, Tungeirudisha kwake, iliyo ya Bwana.
3
Utusaidie, upendo kujua, Kwa ajili yao wote, walio gizani.
4
Neno tumaini, na kutegemea, Kwamba lote tufanyalo, tulifanye kwako.