1
Nilikupa wewe, damu ya moyoni, Ili wokolewe, winuke ufuni.
Kiitikio
Nimekunyima ni wewe? Umenipa nini? Nimekunyima ni wewe? Umenipa nini?
2
Nilikupa miaka yangu duniani, Upate inuka, kuishi mbinguni.
3
Nimekuletea, huku duniani, Pendo na wokovu, vyatoka mbinguni.
4
Nipe siku zako, udumu mwangani, Na taabu yako, wingie rahani.
Kiitikio
Nafsi nafsi pendo mali, twae Imanweli. Nafsi nafsi pendo mali, twae Imanweli.