110

Mlango Uko wa Wema

1

Mlango uko wa wema, mlango wazi huo, Yesu ameufungua, na hakuna kufunga.

Kiitikio

Mlango wazi ajabu, uliachwa wazi kwangu. Kwangu, Kwangu? Wazi wazi kwangu.

2

Mlango hukaa wazi, watu waokolewe. Maskini na matajiri, wa mataifa yote.

3

Maadam mlango wazi, rafiki kaza mwendo, Msalaba ukubali, amana ya upendo.

4

Msalaba tutabeba, daima na furaha, ‘Pendo wa Yesu hushinda, tunainama kwake.