1
Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata msaada.
2
Alama anazo yeye? Sana makovu, Ya mikono na miguu na mbavu.
3
Naye amevikwa taji, kichwani mwake? Taji kweli alivikwa miiba.
4
Huku nikimfuata, nipate nini? Maonjo nje na ndani - amani.
5
Kwamba namwandama yeye, mwisho ni nini? Kurithi furaha naye - milele.