1
Yesu Mwokozi ili nitakaswe, nataka moyo uwe enzi yako, Ukiangushe kilichoinuka, unioshe sasa niwe mweupe.
Kiitikio
Mweupe tu, ndiyo mweupe, Ukiniosha nitakuwa safi.
2
Bwana Yesu sasa unitazame, unifanye niwe dhabihu hai, Najitoa kwako na moyo vyote, unioshe sana niwe mweupe.
3
Bwana kwa hiyo nakuomba sana, nakungojea miguuni pako, Wanaokuja hutupi kamwe, unioshe sasa niwe mweupe.