1
Yesu anasema, “Wewe huna nguvu, Kesha ukaombe, na uje mwanangu.”
Kiitikio
Alilipa bei, nawiwa naye, Dhambi ilitia waa, aliiondoa.
2
Bwana nimeona, uwezo wako tu, Waweza takasa, mioyo michafu.
3
Sina kitu chema, kudai neema, Hivi nitafua, mavazi kwa damu.
4
Ninaposimama, juu ya mawingu, Taji nitaweka, miguuni pa Yesu.