133

Po pote na Yesu

1

Po pote na Yesu nina furaha, anitumako Yesu ndiyo raha, Asipokuwako hapanifai, akiwapo Yesu mimi sitishwi.

Kiitikio

Po pote, po pote, sina mashaka, Po pote na Yesu, naweza kwenda.

2

Akiwapo Yesu si peke yangu, na nijapotupwa akali wangu Ajaponiongoza njia mbaya, niwapo na Yesu ninashukuru,

3

Akiwapo Yesu naweza lala, naweza pumzika hata kiyama, Kisha nitakwenda kwake milele, akiwapo Yesu furaha tele.