1
Unifundishe Baba, ile njia ya sala, Uniendeshe sana, niwe kama Yesu.
Kiitikio
Niwe kama Yesu, niwe kama Yesu, Uniongoze baba, niwe kama Yesu.
2
Unipe pendo baba, watu kuwaokoa, Nyumbani na mjini, niwe kama Yesu.
3
Na unifahamishe, wakati ndio mfupi, Unibidishe Bwana, niwe kama Yesu.