138

Nitakuandama Kote

1

Nitakuandama kote, nitakapoangizwa. Wewe ukiniongoza, nami nitaandama.

Kiitikio

Nitakuandama kote, naam ulinifia, Kwa neema yako Bwana, napenda kuandama.

2

Njia ijapoparuza, kwa miiba na fujo, Ulitangulia mbele, nami nitaandama.

3

Nijapokuta taabu, na majaribu kote, Nakumbuka shida yako, nami nitaandama.

4

Nijapoona ukiwa, na mateso makali, Wewe uliyatikiza, nami nitaandama.

5

Ijapo wanipeleka, vilindini mwa giza, Wewe uliyatikiza, nami nitaandama.