139

Uliniimbie Tena

1

Uliniimbie tena, neno la uzima, Uzuri wake nione, neno la uzima, Neno hili zuri, lafundisha kweli.

Kiitikio

Maneno ya, uzima ni, maneno mazuri, Maneno ya, uzima ni, maneno mazuri.

2

Kristo anatupa sote, neno la uzima, Mwenye dhambi asikie, neno la uzima, Latolewa bure, tupate wokovu.

3

Neno tamu la injili, neno la uzima, Lina amani kwa wote, neno la uzima, Litatutakasa, kwa haki ya mwana.