142

Nasikia Mwito

1

Nasikia mwito, ni sauti yako, Nikasafiwe kwa damu, ya kwangikwa kwako.

Kiitikio

Nimesogea, mtini pako, Unisafi kwa damu, ya kuangikwa kwako.

2

Ni mnyonge kweli, umenipa nguvu, Ulivyonisafi taka, ni utimilivu.

3

Yesu hunijuvya, mapenzi imani, Tumai amani radhi, hapa na mbinguni.

4

Napata wokovu, wema na neema, Kwako Bwana nina nguvu, na haki daima.