143

Baba Sina Msaada

1

Baba sina msaada ila kwako pekee, Kama kwangu ungefichwa, nifanyeje Baba?

Kiitikio

Sasa hivi naamini, Yesu alikufa, Aliimwaga damu yake, nitoke dhambini.

2

Naamini mwana wako, nipe nguvu zako, Nijazie mahitaji, katika saa hii.

3

Ni furaha gani kwangu, kukuona uso, Nijue sauti yako, nipate neema.