1
Ni wako Bwana, ninasikia, unaponena nami, Lakini kweli, nataka kwako, nizidi kusogea.
Kiitikio
Bwana vuta, (vuta) nije nisongee, Sana kwako mtini, Bwana vuta, (vuta) nije nisogee, Pa damu ya thamani.
2
Niweke sasa, nikatumike, kwa nguvu za neema, Uyapendayo, nami nipende, nizidi kukwandama.
3
Nina furaha, tele kila saa, nizungumzapo nawe, Ninanena kama kwa rafiki, nikipiga magoti.