157

Mfalme yu Mlangoni

1

Mfalme yu mlangoni, ndiye aliyetufia, Mara wote wampendao, atawakusanya.

Kiitikio

Yuaja, yuaja, mlangoni anasimama, Anakuja, anakuja, kuja kwake karibu.

2

Dalili za kuja kwake, zinazidi kutimizwa, Karibuni wateule, watamlaki Bwana.

3

Sitafute duniani, amani wala furaha, Mpaka Bwana arudi, dhambi kuondoa.

4

Tutakaa na Mwokozi, makaoni ya milele, Daima tutafurahi, kuwa watu wake.