1
Piga panda na ya makelele, Yesu yuaja tena, Ipaze sauti imba sana, Yesu yuaja tena.
Kiitikio
Anakuja, anakuja, Yesu yuaja tena.
2
Itoe mwangwi sana vilima, Yesu yuaja tena, Yuaja kwa utukufu mwingi, Yesu yuaja tena.
3
Itangazwe mahali po pote, Yesu yuaja tena. Mwokozi aliyetufilia, Yesu yuaja tena.
4
Kuona machafuko twajua, Yesu yuaja tena, Mataifa yakasiriana, Yesu yuaja tena.
5
Maradhi hofu hutuhubiri, Yesu yuaja tena. Taabu, njaa hutulilia, Yesu yuaja tena.