1
Tumaini liko la thamani kuu, Kupita anasa tupu zake ulimwengu.
2
Pana nyota nzuri nuru itoayo, Kwetu wakati wa kifo ndio ufufuo.
3
Zikiumwa roho na hofu mashaka, Sauti hutuambia Mungu hutupenda.
4
Kutoka Kalwari sauti hunena, Nyota ni nuru ya mbingu tumaini letu.