1
Furaha kwa ulimwengu, Bwana atakuja. Kila moyo umpokee, viumbe imbeni, Viumbe imbeni, viumbe vyote imbeni.
2
Na Bwana atatawala, watu na waimbe, Miti milima na mawe, kariri furaha, Kariri furaha, kariri furaha kubwa.
3
Atatawala kwa wema, atawafundisha Mataifa haki yake, ajabu za pendo, Ajabu za pendo, ajabu za pendo lake.