168

Tarumbeta ya Mwana

1

Tarumbeta ya Mwana itakapolia mara, Milele itakapopambazuka, Nao wa haki watakapokusanyika ng’ambo, Majina yaitwapo lo! niweko.

Kiitikio

Majina yaitwapo lo, Majina yaitwapo lo, Majina yaitwapo lo, Majina yaitwapo lo niweko.

2

Siku ile watakatifu watakapoamka, Nakuondoka huru kaburini, Watakapokusanyika makaoni kule juu, Majina yaitwapo lo niweko.

3

Tutende kazi ya Yesu mchana kutwa kwa bidii, Tutangaze kote pendo lake kuu, Nayo kazi itakapotimika hapa chini, Majina yaitwapo lo niweko.