17

Si Mimi, Kristo

1

Si mimi, Kristo astahili sifa, Si mimi, Kristo ajulikane, Si mimi, Kristo katika maneno, Si mimi, Kristo kwa kila tendo.

2

Si mimi, Kristo kuponya huzuni, Kristo pekee, kufuta machozi, Si mimi, Kristo kubeba mzigo, Si mimi, Kristo kutoa hofu.

3

Kristo pekee, pasipo kujisifu, Kristo pekee, na nisizungumze, Kristo pekee, na hakuna kiburi, Kristo pekee, sifa yangu ife.

4

Kristo pekee, mahitaji atoe, Si mimi, Kristo, kisima changu, Kristo pekee, kwa mwili na kwa moyo, Si mimi, Kristo, hata milele.