18

Mwokozi Kama Mchunga

1

Mwokozi kama mchunga, utuongoze leo, Ututume malishoni, fanya tayari boma, Bwana Yesu peke yako, umetuvuta kwako.

2

Tu wako uwe rafiki, uwe mlinzi wetu, Kundi lako ulilinde, tusivutwe na dhambi, Bwana Yesu tusikie, tukiomba samehe.

3

Umetuahidi kwamba utakubali watu, Utawahurumia na, utawapa neema, Bwana Yesu tunapenda, kuwa wako mapema.