171

Imeanzishwa Hukumu

1

Imeanzishwa hukumu mbinguni, tutasimamaje pale, Apimapo Mungu Hakimu, kila wazo na tendo?

Kiitikio

Tutasimamaje sote katika siku kuu ile? Dhambi zetu zitafutika, ama zitatuangusha?

2

Wametangulia wafu kupimwa, kitambo ndipo wahai, Watapokea neno la mwisho, vitabuni mwa Mungu.

3

Tutasimamaje usiku ule, siri zetu kila moja, Zafunuliwa toka vitabu, Yesu atusaidie!