172

Mfalme Wetu Atuita

1

Mfalme wetu atuita, tukae karamuni kwake, Itakuwaje nasi kule, Bwana ajapo?

Kiitikio

Bwana ajapo ndugu, Bwana ajapo, Itakuwaje na sisi, Bwana akija?

2

Atavikwa vizuri sana, taji badala ya miiba, Kweli tukeo la fahari, Bwana ajapo.

3

Kwa furaha awakubali, wenye mavazi ya arusi, Tu wa heri tukimridhisha, Bwana ajapo.

4

Kutakuwako na utengo, watalia waliomwasi, Cha kutisha kipindi kile, Kristo ajapo!

5

Mfalme utupe neema, sisi tunapokungojea, Tusiogope kukuona, ujapo Bwana.