1
Wavunaji watafurahi, pale watakaporudi, Wakiyaleta mavuno, hata Yerusalemu.
Kiitikio
Furaha wataipata, furaha hata milele, Furaha wataipata, wakati wa mavuno.
2
Na siku ile tutaimba, kumshukuru na kumsifu, Bwana Yesu jumbe wetu, kule Yerusalemu.
3
Wavunaji watafurahi, makaoni mwa milele, Yaliyowekwa tayari, kule Yerusalemu.