1
Msalabani pa Mwokozi, hapo niliomba upozi, Moyo wangu ulitakaswa, na asifiwe.
Kiitikio
Na asifiwe, na asifiwe, Alinikomboa kwa damu, na asifiwe.
2
Chini ya mti msumbufu, niliomba utakatifu, Alinikomboa kwa damu, na asifiwe.
3
Kwa ajabu ninaokoka, Yesu anakaa moyoni; Mtini alinifilia, na asifiwe.
4
Damu ya Yesu ya thamani huniokoa makosani, Huniendesha wokovuni, na asifiwe.