181

Mahali pa Maji

1

Mahali pa maji mazuri, maji ya uzima, Anapotungojea Yesu, tutakaribishwa.

Kiitikio

Mahali pa maji mazuri, penye maji ya uzima, Tutakaa na Mwokozi, chemchemi ya uzima.

2

Tunapochoka safarini, tamu kupumzika. Panapo maji ya uzima, yatufurahisha.

3

Una kiu? uje kwa Yesu, utaburudishwa, Yesu yu maji ya uzima, unywe uokoke.