1
Mahali pa maji mazuri, maji ya uzima, Anapotungojea Yesu, tutakaribishwa.
Kiitikio
Mahali pa maji mazuri, penye maji ya uzima, Tutakaa na Mwokozi, chemchemi ya uzima.
2
Tunapochoka safarini, tamu kupumzika. Panapo maji ya uzima, yatufurahisha.
3
Una kiu? uje kwa Yesu, utaburudishwa, Yesu yu maji ya uzima, unywe uokoke.