1
Mchana hauishi, mjini mzuri, Mji hautapita, na hapana giza.
Kiitikio
Machozi yatafutwa, kifo hakuna kule, Hawahesabu siku, na hapana giza.
2
Milango ni ya lulu, mjini mzuri, Dhahabu njia zake, na hapana giza.
3
Milango haifungwi, mjini mzuri, Mto ni wa uzima, na hapana giza.
4
Hawahitaji jua, mjini mzuri, Mwana Kondoo nuru, na hapana giza.