186

Tuonanapo na Rafiki

1

Tuonanapo na rafiki sote twafurahi, Ila tumepaswa mwishowe kuagana tena.

Kiitikio

Hatutaagana tena nyumbani mbinguni, Kwenye nchi tamu juu, hatutaagana.

2

Twatumaini kwa furaha tutaonana juu, Na rafiki tulioaga tuishapo shinda.

3

Kule hatutatamka kamwe neno la kuaga, Tutaimba daima tena nyimbo za furaha.