187

Kufariki Naye Yesu

1

Kufariki naye Yesu, usingizi wenye heri, Raha isiyofujika, kwa majonzi na adui.

2

Kufariki naye Yesu, lo ya kubwaga simanzi Na kulala na amani, hata Bwana awatuze.

3

Kufariki naye Yesu, heri watakaoamshwa, Wataona siku ile, utukufu wake Bwana.

4

Kufariki naye Yesu, wataamka aitapo, Watapasua kaburi, na kutoka watukufu.