1
Mimina upya, nguvu toka juu, Tupe pendo lako, ewe Mwokozi.
Kiitikio
Twakusihi sana, Yesu Mwokozi, Tubatize upya, kwa Roho leo.
2
Kwako twalia, wenye maovu, Osha moyo wetu, ututakase.
3
Kipaji cha juu, kitume kwetu, Tubariki sasa, utufariji.
4
Isikilize, kwa moyo wazi, Sauti ya Roho, ubarikiwe. Meza ya Bwana