193

Sauti ya Mchungaji

1

Sauti ya Mchungaji, ninasikia jangwani, Kondoo waliopotea, anawaita warudi.

Kiitikio

Leteni, leteni, leteni toka dhambini, Leteni, leteni, waleteni kwa Yesu.

2

Nani atakayekwenda, amsaidie Mchungaji, Awarudishe zizini, wasife bure gizani.

3

Usikose kusikia, sauti ya Mchungaji, Kondoo waliopotea nenda na kuwatafuta.