197

Anipenda ni Kweli

1

Anipenda ni kweli, Mungu anena hili, Sisi wake watoto, kutulinda si zito.

Kiitikio

Yesu Mwokozi, ananipenda, Kweli hupenda, Mungu amesema.

2

Kwa kupenda akafa, niokoke na kifo, Atazisafi taka, sana ataniweka.

3

Anipenda kabisa, niuguapo sasa, Anitunza mbinguni, niliyelala chini.

4

Kunipenda haachi, tu sote hapa chini, Baada ya mashaka, kwake tanipeleka.