1
Upendo ni furaha, ni kweli desturi, Yake kuzisahihisha njia zetu zote.
Kiitikio
Yu pendo, tu watoto wake. Yu pendo, mwana wa Mungu, Na sisi tupendane, kama Baba Mungu, Amri yake ndiyo hii, kupendana sana.
2
Duniani huzuni, ugonjwa mauti, Kwa pendo tuwafariji wenye mahitaji.
3
Na atakapokuja, kutuchukua juu, Tutaimbia milele pendo lake Yesu.