22

Usinipite

1

Usinipite Mwokozi, unisikie, Unapozuru wengine, usinipite.

Kiitikio

Bwana, Bwana, unisikie, Unapozuru wengine, usinipite.

2

Kiti chako cha rehema, nakitazama, Magoti napiga pale, nisamehewe.

3

Sina ya kutegemea, ila wewe tu, Uso wako uwe kwangu, nakuabudu.

4

Wewe tu u Mfariji, sina mbinguni, Wala duniani pote, Bwana mwingine.