1
Ninao wimbo mzuri, tangu kuamini, Wa Mkombozi mfalme, tangu kuamini.
Kiitikio
Tangu kuamini, jina lake ‘tasifu, Tangu kuamini, nitalisifu jina lake.
2
Kristo anitosha kweli, tangu kuamini, Mapenzi yake napenda, tangu kuamini.
3
Nina ushuhuda sawa, tangu kuamini, Unalofukuza shaka, tangu kuamini.
4
Ninalo kao tayari, tangu kuamini; Nililorithi kwa Yesu, tangu kuamini.