33

Karibu Sana

1

Karibu sana univute, karibu sana daima niwe, Bwana napenda unishike, unilinde nisitengwe nawe, Unilinde nisitengwe nawe.

2

Karibu sana sina kitu, sina sadaka kwa Bwana Yesu, Isipokuwa moyo wangu, uutakase katika damu, Uutakase katika damu.

3

Karibu sana wewe nami ninafurahi kuacha dhambi, Anasa zote na kiburi, nipe niliyemsulibisha, Nipe niliyemsulibisha.

4

Karibu ssana hata mwisho, hata mbinguni nisimamapo, Daima dawamu niwepo, nitakapoona uso wako, Nitakapoona uso wako.