1
Nimekombolewa na Yesu, na sasa nimefurahi, Kwa bei ya mauti yake, mimi ni mtoto wake.
Kiitikio
Kombolewa! Nakombolewa na damu, Kombolewa! mimi mwana wake kweli.
2
Kukombolewa nafurahi, kupita lugha kutamka, Kulionyesha pendo lake, mimi ni mtoto wake.
3
Nitamwona Mfalme wangu, katika uzuri wake, Ambaye najifurahisha, katika torati yake.
4
Najua taji imewekwa, mbinguni tayari kwangu, Muda kitambo atakuja, ili alipo niwepo.