1
Ni heri kifungo kinachotufunga, Mioyo yetu kwa pendo pendo la Kikristo.
2
Mbele ya Baba tunatoa sala, Hofu nia masumbufu yetu ni mamoja.
3
Tunavishiriki matata na shida, Na mara nyingi twatoa chozi la fanaka.
4
Tunapoachana moyoni twalia, Lakini tutakutana mwisho mbinguni.