48

Ninakupenda Zaidi

1

Ninakupenda zaidi, ya vyote vingine; Kwani umenipa raha, na amani Bwana.

Kiitikio

Nusu haijatangazwa (tangazwa) ya upendo wako, Nusu haijatangazwa (tangazwa) damu hutakasa (takasa).

2

Nakujua u karibu, kuliko dunia, Kukukumbuka ni tamu, kupita kuimba.

3

Kweli wanifurahisha, na nitafurahi, Pasipo upendo wako naona huzuni. 4Itakuwaje Mwokozi, kukaa na wewe, Ikiwa ulimwenguni tuna furaha hii?