1
Leo ninafikiria nchi nzuri, ninayotaka kuiona, Nisimamapo karibu na Mwokozi, tajini zitakuwa nyota?
Kiitikio
Sijui tajini mwangu kama nyota, zitang’aa kila wakati. Nitakapoamka katika majumba, zitakuwa nyota tajini?
2
Kwa nguvu za Bwana nitafanya kazi, nitavuta roho za watu, Ili niwe na nyota katika taji, Bwana anapotupa tunu.
3
Nitakuwa na furaha nikimwona, kuweka miguuni pake, Watu waliovutwa kwa ajili ya kazi yangu na roho yake.