1
Kumekucha kwa uzuri, nafumbua macho, Baba amenihifadhi, ni wake mtoto.
2
Bwana niwe leo kutwa, ulinzini mwako, Nisamehe dhambi, niwe mikononi mwako.
3
Roho wako anikae, moyoni daima, Anitakase nione, uso wako mwema.
Kumekucha kwa uzuri, nafumbua macho, Baba amenihifadhi, ni wake mtoto.
Bwana niwe leo kutwa, ulinzini mwako, Nisamehe dhambi, niwe mikononi mwako.
Roho wako anikae, moyoni daima, Anitakase nione, uso wako mwema.