1
Roho yangu amka sasa, mara jitahidi, Shindano ni lake Bwana, zawadi ni taji.
2
Sauti ni yake Mungu inayokuita, Ndiyo aliyekirimu, taji ya uzima.
3
Mashahidi ndio wengi, wanaokuona, Ya nyuma usifikiri, bali mwendo kaza.
4
Bwana umetuanzisha, katika shindano, Kwa vile tunaposhinda, ushindi ni wako.